Mrembo mwenye umbo matata 'Posh Queen' asema hataki kuajiriwa ili awe free na umbo lake

Mrembo mwenye umbo matata 'Posh Queen' asema hataki kuajiriwa ili awe free na umbo lake

H
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
Hana jipya.
 
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
siku hizi kalio ndio uzuri?........
.

aiseee aliesema IQ ya wabongo ni ndogo alikua sahihi
 
Kwahiyo anamaanisha wanaume wakware wapo maofisini pekee? Huko kwenye biashara anakutana nyuki wa mashineni?

Nisaidie kumuuliza halafu ulete majibu
Anataka biashara za kwenda China na kula bata Dubai, kwa hiyo ajira itambana!
 
Tuerny hana matako ya huyo mtoto mkuu waangalie vizuri mkuu

Halafu huyo Tuerny katulia nini ? Labda kama humjui kaanzie kwao pale Magomeni upate file lake.
Hahah sasa ishu ni matako au mvuto bablae. Kwangu mie sioni cha ajabu kwa huyo posh queen maana uzuri wake labda akatwe kichwa
 
Fresh tu, mtu kama siku ya graduation tu anamiliki iPhone mbili zenye thamani ya 5M (daah ningeongezea kwenye mradi wangu wa ufugaji aisee ningetoka)
 
Wajameni hii JF leo kila page ukifungua yanaonekana manyotanyota, kulikoni?
 
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
Zile iphone X mbili si ndo alizipata kwa usunbufu huo....
 
Yaani,kuna watu wanafaidi kwa kweli.Mtoto natural tako,maana niliona yupo picha moja na mama yake.Wote mashallah kabisa(Wazee tutafuteni hela tuu)
 
Yaani,kuna watu wanafaidi kwa kweli.Mtoto natural tako,maana niliona yupo picha moja na mama yake.Wote mashallah kabisa(Wazee tutafuteni hela tuu)
Mkuu si wengine hatunaga makuu, kimbilio letu ni kimboka na sugar ray
 
Back
Top Bottom