Mrembo mwenye umbo matata 'Posh Queen' asema hataki kuajiriwa ili awe free na umbo lake

Mrembo mwenye umbo matata 'Posh Queen' asema hataki kuajiriwa ili awe free na umbo lake

46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
Mafisi wapo kila kona

Akiwakimbia kibaruani atawapata kwenye biashara na shughuli nyingine

Kuna mafisi ma supplier wa malighafi (raw materials)

Kuna mafisi Wanunuzi wa bidhaa (soko)

Kuna mafisi Wakusanya kodi

Kuna mafisi wakagua na wadhibiti ubora wa bidhaa

Hivyo popote atakapokuwa ajipange

Lakini kubwa ninaloliona yeye mwenyewe anajiweka katika mazingira ya kukaribisha mafisi
 
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
Ebu muulize atakua anafanyia iyo "biashara" viwanja gana ili na mm cku nkija daslaaam npate iyo "bidhaa"?
 
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
Hivi urembo unaozungumzia hapa ni upi?
Tako kubwa ndo kipimo chako cha urembo!!?
Sijaona mrembo hapo, naona msichana "aliyejibinua makalio" mwenye kijitako fulani cha kawaida sana.
Nyie mnaowapa "Airtime" hawa dada zetu ndo mnawafanya wazidi kufanya upumbavu wao.
 
Huu upuuzi wa kuandika kuhusu madada wa chuo umekua siku hizi. Wengine nahisi huleta humu picha za wahusika bila idhini
 
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.


Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.?? >>>>>chines made
 
Ebu muulize atakua anafanyia iyo "biashara" viwanja gana ili na mm cku nkija daslaaam npate iyo "bidhaa"?
Online ili msimuone, kama kweli ana nia ya kutokusumbuliwa.
 
Hivi urembo unaozungumzia hapa ni upi?
Tako kubwa ndo kipimo chako cha urembo!!?
Sijaona mrembo hapo, naona msichana "aliyejibinua makalio" mwenye kijitako fulani cha kawaida sana.
Nyie mnaowapa "Airtime" hawa dada zetu ndo mnawafanya wazidi kufanya upumbavu wao.
Mjomba hata kama mimi sio muumini wa makalio ,huyo mtoto tako analo aisee sifa yake apewe
 
People are obsessed with this ugly booty. Utamu wa ku** sio tako.
 
46669325_138390650486399_8165971301282494603_n.jpg

Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’

SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.



Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.

mtaji tosha tu kama yeye
 
Huyu demu mnampa kiki kinoma yn.........tangu jana naona nyuzi zake.....najua anachunguliaga kidgo humu.....atakua anafarijika sana kuona trending yake..

Unaleta mada tujadili kutotaka kwake kuajiriwa!!!??? Aaarrggghhh
 
Back
Top Bottom