Wafanyeje na Mungu ndio alichowajaalia.?ndugu zetu wachina watakua wanatushangaa sana, haya mambo hawana lakini wanapendana sana.
[emoji38][emoji38][emoji38]Tuerny hana matako ya huyo mtoto mkuu waangalie vizuri mkuu
Halafu huyo Tuerny katulia nini ? Labda kama humjui kaanzie kwao pale Magomeni upate file lake.
Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’
SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kuwa ni msichana mwenye umbo kali aliyemaliza Stashahada ya Insurance and Risk Management katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) cha jijini Dar, amesema hataki kuajiriwa kwani anajua atakavyosumbuliwa.
Posh aliiambia Over Ze Weekend kuwa, anamshukuru Mungu kwani hata alipokuwa chuoni alikuwa ameshaanza kufanya biashara hivyo baada ya kumaliza chuo atajiari mwenyewe. “Sitaki kuajiriwa maana najua nitakayokutana nayo. Ni bora kujiajiri mwenyewe nitakuwa huru na umbo langu,” alisema Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.
Alafu unakufa..unamsomesha mwanao wa kike kwa kujinyima chura inakunyima matunda, duuh
Huyo akitaka kazi inapata bila interviewkwanza akili za kufaulu interview anazo?tuanzie hapo
Uwoya bado yumo sana tu labda WemaMbona mtaji anao!! By then Mwanamke ni bidhaa inayoharibika haraka sana Sokoni. So awaulize akina wema na Uwoya , Zama zao zilishakwisha
Huko latin America mbali mkuu, pitia kwetu uswazi uone vitu og hadi ujikwae... nyonyoz, takoz usipime...U got my point....demu wa kawaida sana huyo......vp ushafika Latin America!??....kama jibu.. ndiyo...utanielewa....
Uwoya bado yumo sana tu labda Wema
Haha hahaaa..."ajikwezaye atashushwa"Hana uzuri wwte huyu dem....labda kama maana ya uzuri siku hizi imebadilishwa...dizain anaforce attention kama kina Gigi money tu.......
Sasa kwa kaumbo gani hakoo???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aache utani aisee unaweza pita ofisini ukakutana na Umbo mpaka ukabaki unashangaaa..
So lazima ukionacho kwako ni kizuri/sahihi kwa mvuto na mwingine akichukulie vivyo hivyo Kaka maana kamwe Binadamu hatufanani katika kila kitu/kwa vitu Vinci sana tu.Mmmmh.mjomba acha utani.
Kila la kheri kwenye hizo anazoziita biashara kwani siku zikibuma hilo hilo mnaloliita umbo ndio atalitumia kama Interview ili apate kazi.
Huyu nae ni celebrity eeh? !