Mrembo Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Masoud Kipanya

Duh! Uzuri ni Member humu JF your comment uenda akawa ameiona so be prepared unaweza kupewa mualiko kwenda kuthibitisha.

Ila hata mimi nipo vizuri if Kipanya hatakuwa bize naweza kumuwakilisha na hutojuta.
😂😂Kuna watu ukiwaangalia hata kwa picha unajua tu huyu fundi, nk sio mpaka niwe nae nilienae huku ana character km za huyo Masoud(wananyandua km wapo kwenye kuwania tuzo) wapewe maua na kujengewa mnara
 
Mwamba ww ninoma, Mungu akubariki sana mkuu.
 
Nargis Mohammed, mtoto mzuri sana...alishaolewa ila anazeeka na uzuri wake, I like her japo amenizidi umri

 
Aisee🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…