Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuambia ubuyu umehamia hapa tumwachana na interview banaAnarudi jamaan richaabra si unajua haogopi mtu
JF ni kibokoo[emoji6] [emoji6] [emoji6] dunia simama nishuke niende sayari ya mars
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutawaacha wenyewe watu wapo kwenye uzi wa interview wa husnaNimemuambia ubuyu umehamia hapa tumwachana na interview bana
Hakuna oxygen huko![emoji6] [emoji6] [emoji6] dunia simama nishuke niende sayari ya mars
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halijui hiloUbuyu muhimu kuliko hii interview yako my
Akikujibu niite mana kila siku anasema hivyo kwa uthibitisho upiiiUmejuaje
Jordi polar aliwaumbua akaweka hadi screen shot..Umejuaje
Ndo mana kwenye maelezo yake alikua anajichanganya mara alitolewa bikra na mwl wake mara sijui msouth arfrica... yaan nilipogundua hii ni chai nikaacha na kufatilia interview.Huyo huyo mamy
Anakuja wereva itakuwa imekata moto[emoji28] [emoji28]
Mbiti[emoji15] [emoji15] [emoji15]Nahuja/Chikira mtabari na Mbiti ni vidume haswaa..
Hakuna kushuka mpaka tufike[emoji28] [emoji28][emoji6] [emoji6] [emoji6] dunia simama nishuke niende sayari ya mars
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi maana wanaume mabinti looohhHakuna kushuka mpaka tufike[emoji28] [emoji28]
Na yale mashauzi sasa unajiuliza huyu anakanyaga chini kweli [emoji1][emoji1] jana aliwatukana sana josseverest na muosha runguNdo mana kwenye maelezo yake alikua anajichanganya mara alitolewa bikra na mwl wake mara sijui msouth arfrica... yaan nilipogundua hii ni chai nikaacha na kufatilia interview.
Ila anakipaji cha uongo na majibu yakebehi staki kuamin kuna mwanaume wa vile...ngachoka maee
Kwahiyo screenshot ndio zilikua zinasema jinsia zaoJordi polar aliwaumbua akaweka hadi screen shot..
Wanaume wanapotea kwa kasi ya kimbunga
Mngeniita[emoji38] [emoji38]Na yale mashauzi sasa unajiuliza huyu anakanyaga chini kweli [emoji1][emoji1] jana aliwatukana sana josseverest na muosha rungu
Ila huko ujue hakuna umbea. [emoji1][emoji1][emoji1]
Halii hii ya magu hatoroki mtu utabaki hapa hapa tuisome namba wote