Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Video call sio issue kama anampa jirani yake we ukionana nao ndio ukuje kwa kujiamini hii jf haipo kama fb au instaSio Picha tu kuna namna kadha za Ku prove hata video call!
DJ sepetu
Endelea kudanganywa tuendelee na interview au imeishaBasi itakuwa kajiandaa maana kama siye hawezi kukujibu paap issue za jf
DJ sepetu
Weka mwingine basi si wapo huko pm kwa foleni chomoa mmoja wekarichaabra sijamuona ila nadhani anajiandaa Na kichambo!
Alisema ule Uzi was a drama
DJ sepetu
We chomoa yeyote si unao wengi huko kwa foleniNgoja nione yule aliye ka richaabra
DJ sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wamekusikia mremboUgomvi wa kuchukuliana mabwana mashoga zangu msiulete huku heheeeeeeeeeeeee[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona mishipa imewasimama kweli
Yaan nimecheka kulikon leoMwenye id ya ngamiani naomba uache kunitongoza inbox tena unikome shetani wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hujakosea sababu we unatumia i'd ya kike huku ukiwa ni me na mi nitakuwa hivyo hivyo mwanamke huwezi kabisa kujisifu ujinga ule kama hautakuja kuzaa au hautakuja kuolewa ulitaka nitetee ule upumbavuShunie shogaangu kama sijakuchukulia bwana basi wewe ni mwanaume unaetumia id ya kike na yawezekana nishakuchuna hivyo riho inauma
Dada dada dada. [emoji40] [emoji40] [emoji40]Atakwambia ana uhakika ni ke sababu katumiwa picha za chura za kudownload[emoji1]
Wivu upiii sasa kwa mfano woiiii ebu nishangae mie endelea na interview achana na mipashoNa ndio nimekuja kuwachamba pusi nyie msio na haya wivu tu
Hahaaa. Mara paaap linamo ndio Mwifwa.Kwa nini alifuta uzi kama alikua ni ke bahati nzuri watu walishacopy uzi halaf mtu mwenye akili unajua kabisa hizi i'd zinazojifanya ke kumbe me zinajitoa ufahamu sana mbili haikai tatu haikai mwenye akili unajua tu
I concurs with you!Jf sio story zote mtu unazichukulia serious jomon....
Dada shikamoo jaman unaendeleaje lakiniDada dada dada. [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Usishuke bana swahiba haya yote utayapata wapi?Yani nikifikiria tu maneno yake ya jana ananipa maswali mengi Sana[emoji23] [emoji23]
Mwanaume anatamani kuwa na chura tena anafurahi na kukejeli wanawake flat screen. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dunia simama nishuke