Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Status
Not open for further replies.
Jina langu halisi ni Nahya

Nimezaliwa Dar es salaam

Mwaka 1992

Umri 25

Kabila langu ni mzaramo mixer mndengereko

Mimi ni mwanamke nnayejiheshimu na nnayemheshimu kila mtu sina makuu yani nipo kawaida

Bila kusahau mimi ni msichana mwenye shepu na uzuri wa iana yake[emoji108]



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama jina lako halisi ni Nahya weka picha yako halisi tuone kwa maana huku wengine wanatumia avatar feki
 
Nimechezwa ngoma mkoleni nikiwa na miaka 15 ilikuwa uzaramoni msanga huko..kikubwa kilichoninufaisha mkoleni ni kufundwa na kufundishwa maadili mema pia bila kusahau ufundi wa kumkatikia vizuri mtoto wa kiume thats why mimi huwa siachwi na mwanaume labda niamue mwenyewe kumuacha[emoji108] [emoji108] [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mdogo sana mnafundishwa non huko

DJ sepetu
 
Jina langu halisi ni Nahya

Nimezaliwa Dar es salaam

Mwaka 1992

Umri 25

Kabila langu ni mzaramo mixer mndengereko

Mimi ni mwanamke nnayejiheshimu na nnayemheshimu kila mtu sina makuu yani nipo kawaida

Bila kusahau mimi ni msichana mwenye shepu na uzuri wa iana yake[emoji108]



Sent using Jamii Forums mobile app


Weka picha
 
Jina langu halisi ni Nahya

Nimezaliwa Dar es salaam

Mwaka 1992

Umri 25

Kabila langu ni mzaramo mixer mndengereko

Mimi ni mwanamke nnayejiheshimu na nnayemheshimu kila mtu sina makuu yani nipo kawaida

Bila kusahau mimi ni msichana mwenye shepu na uzuri wa iana yake[emoji108]



Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ili tuone iyo shepu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom