Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Status
Not open for further replies.
Nimechezwa ngoma mkoleni nikiwa na miaka 15 ilikuwa uzaramoni msanga huko..kikubwa kilichoninufaisha mkoleni ni kufundwa na kufundishwa maadili mema pia bila kusahau ufundi wa kumkatikia vizuri mtoto wa kiume thats why mimi huwa siachwi na mwanaume labda niamue mwenyewe kumuacha[emoji108] [emoji108] [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtan wangu hapa ndo roho huwa inapenda ngoja nisogeze kiti karbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4162907a0f202f9d889fa110e8be97bd.jpg
Wapenda picha umewapatia
 
Mkoleni huwa huwa msichana anapelekwa baada ya kuvunja ungo huwa tunawekwa ndani kwa muda wa miezi 2 hadi 3, huku tukifundishwa mambo mbalimbali kama kujitambua kama msichana , kuwa na nidham na jinsi ya kuishi vuzuri na watu bila kusahau mtoto wa kike kufundishwa namna ya kuishi na mwanaume na siku ya kutoka nnje huwa tunachezwa ngoma huku tumezungukwa na watu vifua na chuchu zikiwa wazi
Weka picha nione hizo chuchu mtan wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom