πππMtani naona presha inapanda na kushuka.Kwanza hana urembo wowote,Pili huyo ni mdangaji tu,Tatu ameshatutia mkosi.
Mahari ndio hilo goli,
Na yeye alisemaje huyo mwanamke?Mahari ndio hilo goli,
Mwanamke amesema aolewe bila mahali atakama atakuwa mke wa pili.Na yeye alisemaje huyo mwanamke?
"....aniowe bure bila mahari....."
Utasemaje goli ni mahari wakati kashasema aolewe bila mahari.
Akikubali na kusema mahari yangu ni goli atalofunga basi ni sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa haisihi bila ya mahari.Mwanamke amesema aolewe bila mahali atakama atakuwa mke wa pili.
Kagere anapenda machangu?Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila mahari hata kama nitakuwa mke wa pili cos najua ana mke tayari.
View attachment 1310106
Mrembo, halafu anatoka Temeke....labda warembo wa singeli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]malaya wa Kimboka Bar Buguruni huyo namjua
Ndiyo hivyoWadada ni balaa.
Nakumbuka kipindi wachezaji wa Senegal walivyokuja TZ kuna malaya alipania eti lazima aliwe na mchezaji, sikumbuki jina maana sio mshabiki wa mchezo, sijui Pogba sijui nani vileeee!
Sasa nikajiuliza hivi atapenya vipi hadi ampate huyo mchezaji ili hali wanakuwa chini ya ulinzi kama wako kambini vile
Huyu si umri wa mjukuu wa Kagere?Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila mahari hata kama nitakuwa mke wa pili cos najua ana mke tayari.
View attachment 1310106
Hehii ofa ilipaswa atoe Shadeeya
Tena tumefika january 4,2020. Ile siku ya mwana kulitaka,mwana kupewa.Ahsante sana ndugu na kwako pia. Hatimaye tumefika salama 2020.