Ungana
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 357
- 74
Sina kawaida ya kuwafuatilia sana watu maarufu lakini huyu dada ananivutia sana na ninatamani nimwombe ndoa,hebu nisaidieni nampataje?
Anaishi hapa nchini au ni diaspora(saivi naoana wanapenda kujulikana hivo)
She looks good mannered na ni kama anazo sifa zote za kuwa mke mwema aliyeelezewa katika MITHALI 30
Anaishi hapa nchini au ni diaspora(saivi naoana wanapenda kujulikana hivo)
She looks good mannered na ni kama anazo sifa zote za kuwa mke mwema aliyeelezewa katika MITHALI 30