Kujiheshimu mwenyewe na kujidhamini pia kujitambua, kuishi na kila mtu haijalishi umri, kauli nzuri kwa watu pia nimechota maisha yao ya ndoa wamekuwa mfano kwangu katika maisha yangu ya ndoa,mpaka Baba yangu anafariki walikuwa wote na mama ( R.I.P my Dad) japo si mkamilifu kwani mie ni binadamu, pia elimu hiyo kiasi walionipatia imenipa hali ya kujitambua mie ni nani.Unajivunia nn ktk malez uliyolelewa na wazazi
Yes sir.. Nlilala kidogo nkapitiwa na usingizi
Sorry! Una elimu gani hasaKujiheshimu mwenyewe na kujidhamini pia kujitambua, kuishi na kila mtu haijalishi umri, kauli nzuri kwa watu pia nimechota maisha yao ya ndoa wamekuwa mfano kwangu katika maisha yangu ya ndoa,mpaka Baba yangu anafariki walikuwa wote na mama ( R.I.P my Dad) japo si mkamilifu kwani mie ni binadamu, pia elimu hiyo kiasi walionipatia imenipa hali ya kujitambua mie ni nani.
UsijaliSamahani niliishiwa chaji
Naomba nisiende mbali sana na kuingia ndani sana, elimu yangu niya chuoSorry! Una elimu gani hasa
Kumbe kuna kuoga kabisa [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Yes sir.. Nlilala kidogo nkapitiwa na usingizi
Thanks nmeamka love nkajua tayari mida ya makeke lol....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] ngoja nioge kwanza
Hawamfahamu Ulweso [emoji1] [emoji1] [emoji1]