Mrembo wa kichaga anayewadatisha wasanii wa kimarekani

Mrembo wa kichaga anayewadatisha wasanii wa kimarekani

Acheni kutoa mapovu, kila mtu apambane na hali yake, kwa kusema wengine wabongo tunaongoza, kama anaishi kwa kuuza nyapu si yeye, kwanini na wewe usiuze? Mbona nyie mademu mnapigwa tena na vivulana vijinga vijinga havina hata future
 
Yani huyu dada ni fekero mpaka! Sema ndugu zangu watz wanadatishwa tu na picha na editing za kufa mtu. Mtu ana rent gari for $9.99 weekend offers anajidai ya kwake bado watu wanampa credit??? Kama ana jeuri ya kununua latest Cadillac Escalade kwa nini hana jeuri ya kupata karatasi? Yani fekeroooooo,
Mi anachonikera ni anajiedit sana mpaka kero
 
kwa majina anaitwa Stella Montez, au Chagabarbie au chagaempress anayeishi brooklyn new york. Nyuma kama miaka miwili aliwahi kumdate Prezoo msanii wa maarufu tajiri kenya.
siri ya urembo wake ni mazoezi.


We nae wa mkoani nini, mbona sijaona kitu hapo
 
onesha yako sio kujibaraguza hapa mtandaoni..vema ye kafnya yake kipi kifanye um'diss sasa.
Nikuonyeshe kwa hadhi gani ulonayo? Ndo nishasema sasa hutaki kameze wembe ufe.
 
Nimemkubali sana yupo fit sana kwa mazeozi ila mazeozi yake ameconcentrate kutengeneza makinikia aka mpododo na Mashobo aka Mahaga na Super Mtindiz you know.
 
Dada na Ndugu zake Prezzo walimuaibisha sana huyu dada baada ya yeye kumtukana Prezzo na kusema ana kibamia.

Huyu hana lolote.
 
Back
Top Bottom