Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Matakooooooo.Ana urembo gani jamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Why does that bother u so much. I really don't get it. Kawahi kukuomba pesa? Anaishi illegally au otherwise is up to DHS kumfuatilia sio Mimi au wewe. Hapo hana pepa anauza sura akipata je si utatamani ardhi ipasuke ikumeze.
Nitakupa free training ya kuliongeza uwe unanitumia picha tu za maendeleo, deal?safi na kweli nimrembo , ngoja nianze mazoezi ya kuongeza kalio kwa mwezi tu naenda kulipima lisipoongezeka uwii
Naomba mtusamehe sisi akina dada,tunaoishi ughaibuni,stress frustuations zinasababisha unnecessary hatred kwa country folks wetu,hata kama hatuwajui.Hatukulazimishwa kupanda ndege kama tungetaka attention etc etc tungebaki nyumbani- One,s luck isikufanye uwe consumed na hatred cause waweza kufa before your daysKimsingi hakuna kazi yenye uhakika. Kazi zote za kuajiriwa hazina uhakika.
Na kusema kuwa marekani usipokuwa na makaratasi hupati kazi si kweli.
Muache dada wa watu aishi anavyotaka, kwa raha zake, fake or not.
Nilikuwa naongelea College park, Ga na Peachtree city Sio ya Maryland. Wabongo wa Maryland hujifanya wanaishi Washington Dc sijui kwanini ahawasemi MD tu.Peachtree city down south? Ni zaidi ya hizo miles
Kwahio kajifanya mkimbizi wa kisomali nae mpaka akaupata huo uwakilishi😀Huko huko hadi wakamchagua congresswoman from Somalia
DealNitakupa free training ya kuliongeza uwe unanitumia picha tu za maendeleo, deal?
Mmesamehewa bila shakaNaomba mtusamehe sisi akina dada,tunaoishi ughaibuni,stress frustuations zinasababisha unnecessary hatred kwa country folks wetu,hata kama hatuwajui.Hatukulazimishwa kupanda ndege kama tungetaka attention etc etc tungebaki nyumbani- One,s luck isikufanye uwe consumed na hatred cause waweza kufa before your days
wacha wivu,endelea kuish mbezi kwa msuguliEish! Fake fake fake fake!
She is sooooo fake! Super fake! Fakest of all!
Nyie mnadhani marekani is about kuamka kwenda gym na kula bata kama anavyofanya??? Muulizeni anafanya kazi gani akiwaambia kazi yake natembea uchi Posta hadi Kibamba.
Huyu anapiga picha hotelini anajidai kwake,?? Huyu anapiga picha kwenye gym za apartments anajidai ni gym ndani kwake??? Aisee bora kuwa maskini na akili kuliko wajinga wengine duniani
Hana tofauti na Rachel Temu, kupenda maisha ya juu at any cost.
we mbona unajichubua watu wanakuvumilia!Mi anachonikera ni anajiedit sana mpaka kero
wach kelele nyapu uvundo hiyo!Soo insecure! Kazi kujibinua asubuhi mpaka jioni halafu wajinga hapa wanadai tunamwonea wivu hahaa!
Bado nasoma nyuzi za watu za WANAWAKE KUTOPENDANAEish! Fake fake fake fake!
She is sooooo fake! Super fake! Fakest of all!
Nyie mnadhani marekani is about kuamka kwenda gym na kula bata kama anavyofanya??? Muulizeni anafanya kazi gani akiwaambia kazi yake natembea uchi Posta hadi Kibamba.
Huyu anapiga picha hotelini anajidai kwake,?? Huyu anapiga picha kwenye gym za apartments anajidai ni gym ndani kwake??? Aisee bora kuwa maskini na akili kuliko wajinga wengine duniani
Hana tofauti na Rachel Temu, kupenda maisha ya juu at any cost.
Ww mdada ata hueleweki mara una mponda stella Kuwa huko USa anapiga picha Gym na Cadillac za kukodi Sasa tena unajiweka kwa Huyo mbeba box huku ukipondea wala vumbi yani ata ueleweki Nasema ivi hao diaspora hali zao ni tete uko ughaibuni ni Wana Fake each mimi nimepita uko miaka fulani ka birthday uchwara tu kakitokea ndo wanapiga vipicha na Kuwarusha roho huku,Jirani hii ligi ya wala vumbi haitokaa iishe, wana hasira sana ebu waonyeshe wakasirike zaidi!
Inshu ya kuosha vyombo Veepe? Mbona inakutoa Povu ivo basi unaogesha Wazeee[emoji15] [emoji16] [emoji16]Hahahaaa....happy 4th jirani.
Nitaendelea kuwatandika fimbo za macho hadi watie akili.
Eti naosha vyombo...hata kama...so what?
Majinuni kabisa hao.
Mbona jibu langu limekutoa povu?Inshu ya kuosha vyombo Veepe? Mbona inakutoa Povu ivo basi unaogesha Wazeee[emoji15] [emoji16] [emoji16]
Why niwe bothered na fake life yake??? Sir una opinion yako na nna opinion yangu juu ya show offs zake! Why dont u mind yours and i mind mines?
Meanwhile mjulishe shes too old for that. Kama kakaa miaka zaidi ya kumi hana akili ya karatasi hatokaa aipate kwa kubenua makalio kila siku.