Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hmm pastorNipe namba yake
Pastor namba yake unataka kufanyia nini?Nipe namba yake
Yani huyu dada ni fekero mpaka! Sema ndugu zangu watz wanadatishwa tu na picha na editing za kufa mtu. Mtu ana rent gari for $9.99 weekend offers anajidai ya kwake bado watu wanampa credit??? Kama ana jeuri ya kununua latest Cadillac Escalade kwa nini hana jeuri ya kupata karatasi? Yani fekeroooooo,Ukitazama vyema pua yake imepinda upande mmoja
Hana makaratasi huyo...hawezi kutoka America
Mbona unatokwa POVU ivo mkuu Cadillac sio gari ya Kisport sport, Raisi Trump anatembelea CadillacYani huyu dada ni fekero mpaka! Sema ndugu zangu watz wanadatishwa tu na picha na editing za kufa mtu. Mtu ana rent gari for $9.99 weekend offers anajidai ya kwake bado watu wanampa credit??? Kama ana jeuri ya kununua latest Cadillac Escalade kwa nini hana jeuri ya kupata karatasi? Yani fekeroooooo,
Ni sio povu, ni reality, kuna watu wana admire maisha yake wkt hawajui behind the scene kukoje. Sio mtu wa ku admire!Mbona unatokwa POVU ivo mkuu Cadillac sio gari ya Kisport sport, Raisi Trump anatembelea Cadillac
Huyu Anaosha Vyombo migahawani na Kutunza Wazee kama mwenzie nyani ngabuNi sio povu, ni reality, kuna watu wana admire maisha yake wkt hawajui behind the scene kukoje. Sio mtu wa ku admire!
Kwani hujawahi mwona mrembo huyo anaendesha hiyo Cadillac? Of coz watu kibao wanaendesha lkn si wa status ya mwenzangu na mie huyu toka Marangu. Kama vipi we kamuulize kazi yake uje uniambie hapa ina qualify life anayoishi? Thats kama ana kazi!
Ni mwongo mpaka kwenye kope!
mara helcopta izo ndinga sasa kumbee...?Eish! Fake fake fake fake!
She is sooooo fake! Super fake! Fakest of all!
Nyie mnadhani marekani is about kuamka kwenda gym na kula bata kama anavyofanya??? Muulizeni anafanya kazi gani akiwaambia kazi yake natembea uchi Posta hadi Kibamba.
Huyu anapiga picha hotelini anajidai kwake,?? Huyu anapiga picha kwenye gym za apartments anajidai ni gym ndani kwake??? Aisee bora kuwa maskini na akili kuliko wajinga wengine duniani
Hana tofauti na Rachel Temu, kupenda maisha ya juu at any cost.
Hamfanyie maombi [emoji3] [emoji3] [emoji3]Pastor namba yake unataka kufanyia nini?
Yani huyu anaishi kihalali kabisaaa anahitaji pongezi japo simzimii, ila huyo stella hell to the no!
Ni wa pili Kuzaliwa bila shaka namba yake ni mbiliNipe namba yake
kwa majina anaitwa Stella Montez, au Chagabarbie au chagaempress anayeishi brooklyn new york. Nyuma kama miaka miwili aliwahi kumdate Prezoo msanii wa maarufu tajiri kenya.
siri ya urembo wake ni mazoezi.