hatuoni hiyo picha ya kuchezaDada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.
Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.
Pipy ameomba radhi kwa wanachi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.
View attachment 2888072
Written by Mjanja M1
Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji
MjanjaM1 anatisha hana mpinzani humu sahvi
malaya tu atakuwaSasa huyo ni msanii au ni Malaya tuu basta kama machizi
sio kamaSasa huyo ni msanii au ni Malaya tuu basta kama machizi
Picha yenyewe iko wapi? Hebu tupia hapa tuone huo uchafu km ni kweli uchafuDada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.
Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.
Pipy ameomba radhi kwa wananchi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.
View attachment 2888072
Written by Mjanja M1
Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji
Hivyo vidonge vinakuaje mkuu?Dada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.
Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.
Pipy ameomba radhi kwa wananchi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.
View attachment 2888072
Written by Mjanja M1
Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji
Ulijizima data bongo unakua maarufu dakika Moja tuUmaarufu unawagharimu sana hawa dada zetu kwa kufanya mambo ya hovyo.
Bongo ukiwa siriazi sana hutoboi, huyo dada ni muda anapost video za nusu uchi ila alivyotoa hiyo ya vidonge ndio imempaisha.Ulijizima data bongo unakua maarufu dakika Moja tu