Mrembo wa Vidonge aitwa BASATA baada ya kupost video chafu mitandaoni

Mrembo wa Vidonge aitwa BASATA baada ya kupost video chafu mitandaoni

Dada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.

Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.

Pipy ameomba radhi kwa wananchi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.

View attachment 2888072

Written by Mjanja M1

Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji
Basata na maadili/ maudhui mitandaoni wapi na wapi?
TCRA wao wafanyeje, mbona kuna mwingiliano wa majukumu?
aliyeona msanii aniambie!!
 
Dada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.

Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.

Pipy ameomba radhi kwa wananchi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.

View attachment 2888072

Written by Mjanja M1

Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji

Kwa jinsi anavyoongea kwa kubabaika unajua kabisa ubongo wake umejaa ujinga...

Kuna kundi kubwa sana la watu wajinga wajinga Tanzania...
 
Dada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.

Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.

Pipy ameomba radhi kwa wananchi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.

View attachment 2888072

Written by Mjanja M1

Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji
Hiyo video ya maungo kwa kiasi kikubwa ndo iko wapi nasi tutoe hukumu zetu za haki.
 
Kwa jinsi anavyoongea kwa kubabaika unajua kabisa ubongo wake umejaa ujinga...

Kuna kundi kubwa sana la watu wajinga wajinga Tanzania...
Ngoja media zile uchwara zianze kumhoji na kumpa airtime [emoji1]
Nchi ujinga ujinga unapewa kipaumbele

Ova
 
Dada alie-trend mitandaoni kwa kijinadi kuwa ana vidonge vinavyoweza kumfanya Mwanaume akashindwa kuendelea na sex kitandani ameitwa na Basata.

Mrembo huyo anaejulikana kwa jina la Pipy ameitwa Basata kwasababu ya kupost video inayomuonyesha akicheza wimbo huku maungo yake kwa kiasi kikubwa yakionekana.

Pipy ameomba radhi kwa wananchi na ameahidi kutorudia kupost video zinazoonyesha maungo yake kwa kiasi kikubwa.

View attachment 2888072

Written by Mjanja M1

Soma hapa - Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji
Basata Mamemuelewa.
 
Back
Top Bottom