denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hilo bunge lingekuwa na maana kama lingeahirishwa ili kuijadili hiyo hoja na kutoa maelezo kwa serikali nini wafanye kukabiliana na hilo tatizo.
Lakini kama Spika wa bunge alishasema serikali hailazimishwi kufuata ushauri wa bunge, sioni sababu kwanini bunge liahirishwe ili kujadili mfumuko wa bei.
Naona watakuwa wanapoteza muda tu, bora waendelee na mambo yao kama kawaida.
Lakini kama Spika wa bunge alishasema serikali hailazimishwi kufuata ushauri wa bunge, sioni sababu kwanini bunge liahirishwe ili kujadili mfumuko wa bei.
Naona watakuwa wanapoteza muda tu, bora waendelee na mambo yao kama kawaida.