Tetesi: Mrisho Gambo kuhamia ACT Wazalendo?

Aliekuwa boss wake ambae kwa sasa ni marehemu hayupo hivyo saa hivi gambos hana makali tena ndio maana kabaki mnyonge kam 7ya
Kabisa, alikuwa jeuri sana
 
Ule ujinga wa cdm kuokota wanaccm kama Lowassa hauwezi kurudiwa tena.
Zile sarakasi za mbowe na lisu zilikua drama tu ila wataalam wa kuchungulia wameshajua game ilivyo......kama simba walivyochugulia leo wakaona mambo magumu watu wakajikata ......hao wachunguliaji wanachungulia hadi huko kwenye vyama
 
Zile sarakasi za mbowe na lisu zilikua drama tu ila wataalam wa kuchungulia wameshajua game ilivyo......kama simba walivyochugulia leo wakaona mambo magumu watu wakajikata ......hao wachunguliaji wanachungulia hadi huko kwenye vyama
Acha kucheza mindgame za kitoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…