Pre GE2025 Mrisho Gambo: Nawatakia CHADEMA heri ya maandamano Arusha. Nitasikiliza hoja zao, zenye mashiko tutazifanyia kazi

Pre GE2025 Mrisho Gambo: Nawatakia CHADEMA heri ya maandamano Arusha. Nitasikiliza hoja zao, zenye mashiko tutazifanyia kazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Ujumbe mzuri sana huu, huku ndiko kuiva kisiasa.

FB_IMG_17089332185109910.jpg

"Nawatakia heri CHADEMA kwenye maandamano kesho Arusha. Naamini kwenye siasa za ushindani wa hoja. Nitasikiliza hoja zao zenye mashiko tutazifanyia kazi. Nitachukulia maandamano na Mkutano wao wa hadhara kama sehemu ya mikutano yangu ya hadhara ya kupokea kero za wananchi."

NB: Tuchukuwe hoja zao, tuzifanyie kazi kwa umakini mkubwa,
° Maji
° Afya
° Umeme
° Ajira ni kilimo na kujiajiri
° Wale wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ni muhimu wakaguswa, huenda hawa nyau wakatumia mlango huu, tuuzibe.
 
Jimbo lishaenda pureesha jamaa inapandaa kwa kasii ...Kesho MTITI
 
Ujumbe mzuri sana huu, huku ndiko kuiva kisiasa.

"Nawatakia heri CHADEMA kwenye maandamano kesho Arusha. Naamini kwenye siasa za ushindani wa hoja. Nitasikiliza hoja zao zenye mashiko tutazifanyia kazi. Nitachukulia maandamano na Mkutano wao wa hadhara kama sehemu ya mikutano yangu ya hadhara ya kupokea kero za wananchi."

NB: Tuchukuwe hoja zao, tuzifanyie kazi kwa umakini mkubwa,
° Maji
° Afya
° Umeme
° Ajira ni kilimo na kujiajiri
° Wale wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ni muhimu wakaguswa, huenda hawa nyau wakatumia mlango huu, tuuzibe.
Tafuta kazi nyingine ubunge mwisho 2025.
 
Kwani anasema hivyo kama nani? Mbunge asikilize hoja za upinzani na kuzifanyia kazi?
 
Back
Top Bottom