Pre GE2025 Mrisho Gambo: Nawatakia CHADEMA heri ya maandamano Arusha. Nitasikiliza hoja zao, zenye mashiko tutazifanyia kazi

Pre GE2025 Mrisho Gambo: Nawatakia CHADEMA heri ya maandamano Arusha. Nitasikiliza hoja zao, zenye mashiko tutazifanyia kazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ujumbe mzuri sana huu, huku ndiko kuiva kisiasa.

"Nawatakia heri CHADEMA kwenye maandamano kesho Arusha. Naamini kwenye siasa za ushindani wa hoja. Nitasikiliza hoja zao zenye mashiko tutazifanyia kazi. Nitachukulia maandamano na Mkutano wao wa hadhara kama sehemu ya mikutano yangu ya hadhara ya kupokea kero za wananchi."

NB: Tuchukuwe hoja zao, tuzifanyie kazi kwa umakini mkubwa,
° Maji
° Afya
° Umeme
° Ajira ni kilimo na kujiajiri
° Wale wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ni muhimu wakaguswa, huenda hawa nyau wakatumia mlango huu, tuuzibe.
Kaonyesha political tolerance
 
watanzania waliowengi wamezidi kulipuka kwa furaa uzinduzi wa treni ya kisasa

chadema sijui kama mandamano yao yanatija kwa taifa
 
Kwa namna Siasa zetu na mfumo wetu ulivyo,hakuna mbunge anayeweza kusolve kero za wananchi
 
Haya yakishaitwa Maandamano ya Chadema tayari yanakuwa diluted (sio wote ni Chadema) LAKINI yangekuwa maanadamo ya Watanzania Kupinga Ugumu wa Maisha (Nadhani hata baadhi ya CCM ambao sio Walamba Asali wangeshiriki)

In short kama watanzania inabidi tujikite kwenye common grounds na kushinikiza tunaowalipa Kodi tupate our value for money; Mpaka sasa I can honestly say Samia is walking Scot Free
 
Back
Top Bottom