Super Bowl
Member
- Feb 10, 2025
- 78
- 46
Smart wa Chadema ndio hao wakimbizi wa kina Lema au?Gambo alidhani miaka mitano ni kama miaka 50
Shauri yake, Sisi Arusha tunahitaji watu smart, na watu smart kivyovyote vile, wapo Chadema tu
Hatutaki takataka za CCM
Mkuu, wakati wa Lema iliyo kuwepo tena ya ghorofa ilikidhi haja.Lema aliwajengea stendi alipokuwa Mbunge wenu?
Mkuu muhasibu sikuhzi mwendo ni huu tuKila kitu mama-mama. Haya sasa. Kukosa Stend nani anahusika? Tundu Lissu?
Apindue nchi akajenge Stendi Arusha - Kamchezo kao kanahitaji kupindua nchi (Wakipindua nchi nitashukuruMkuu muhasibu sikuhzi mwendo ni huu tu
View attachment 3233701