Pre GE2025 Mrisho Gambo: Nitaenda kuwajibu nini wananchi wa Arusha. Jiji kama Arusha linakosaje stendi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Well said. Nilitaka niandike hicho hicho.
Huyo mpiga dili ni mnafiki na dumilakuwili pia
 
Geneva ya Africa bado wanatumia stand ya mwaka 47
Actually bus stand si dili sana Tanzania. Mengi yamejengwa lakini hayana faida wala huduma za msingi!
Labda wanaotaka stand mpya watumie hoja ya kuupanua mji wa Arusha usambae hadi Kisongo, Ngaramtoni ya Juu, Lokii/Custom, King'ori, etc
 
Kinachikwamisha ni siasa za ccm duni za ongeza na thamani ya kubwa ya ardhi.
Lakini hoja ya kupeleka bus terminal kule Bondeni City haitokuwa na faida kama hakutakuwa na terminal nyingine barabara ya Nairobi (Ngaramtoni ya Juu), barabara ya Babati (Kisongo) na barabara ya Moshi (Usa River)!
Bondeni City imekaa kushoto sana na itawanufaisha zaidi watumiaji wa barabara pendekezwa ya Arusha-Dodoma!
Waendelee kuumiza vichwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…