mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Achana naye, huyo ni nincompoopWewe ulishiriki kumuua mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye, huyo ni nincompoopWewe ulishiriki kumuua mkuu?
Stendi ya Kilimanjaro iliboreshwa ikawa na hadhi tatizo ni udogo wa eneo tu.Ile inayotumika Arusha ni uchafu kwa kweli.Arusha na Kilimanjaro hawana stendi za Maana
Well said. Nilitaka niandike hicho hicho.Gambo ndiye chanzo kutofanyika kwa ujenzi wa hiyo stendi alafu ananyoosha kidole kwa nani?.
Wakati wa JPM pesa ilitolewa, eneo lilishapimwa na mpaka mkandarasi alishasafisha eneo, baadaye wakaanzisha mtifuano kwamba kule mbali, kumbe Gambo and Company wanataka stand ijengwe kwenye eneo lao.
Mzee baba akaona hawa hawaitaji stand, pia soma hii; Kituo Chetu Mabasi Arusha hiki hapa
🤦🏿♂️🤦🏿♂️🤦🏿♂️Lema si alisema kaifanya Arusha kuwa Dubai?
🤣🤣🤣Geneva ya Africa bado wanatumia stand ya mwaka 47
Anafikili watu wamesahau!.Well said. Nilitaka niandike hicho hicho.
Huyo mpiga dili ni mnafiki na dumilakuwili pia
Dubai ya wapi... Arusha hakuna shopping unaweza fanya baada ya saa 2 usiku na kabla ya saa 3 asubuhi!Lema si alisema kaifanya Arusha kuwa Dubai?
Actually bus stand si dili sana Tanzania. Mengi yamejengwa lakini hayana faida wala huduma za msingi!Geneva ya Africa bado wanatumia stand ya mwaka 47
Kinachikwamisha ni siasa za ccm duni za ongeza na thamani ya kubwa ya ardhi.Standa ya Arusha ni mfupa mgumu, wengi wamejaribu wameshindwa.
Viwanja vimetolewa mara 3 lkn mradi umekwamishwa na vigogo.
Hili lilimshinda hadi Magufuli.
Arusha ina wenyewe.
Mafisadi ya nchi hii yananufaika kwa mkwamo wa stand kuu.
Hata Magufuli alikwama