johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu asubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaaGambo ndio baba lao Katika unafiki. Inawezekana hao vijana wamempiku kwenye unafiki ndio maana kakimbilia kwa Makonda na kulialia.
Makonda hawezi kumsaidia kupata ubunge mbele ya jungu la vijana UVCCM. Kama kagombana na hao, ajue amekwisha. Vijana mmalizeni kabisa huyu mtu aka shetani maana hafai hata kupata uenyekiti wa mtaa.
Ni kweli Mungu anasemehe na anajibu maombi sana! Hata Wewe Mungu atakusamehe, ule ‘ushabiki’ kuhusu saa8! Ila Nakuombea asikupe majibu mabaya, kuhusu yale!Huyu Gambo Mungu msamehe ila usiache mjibu kabla ya huwo uzee na isiwe kwa kificho watanzania wote waone ili sote tujifunze ktk hili.
Chuga ipi mkuu ya mateves au olasiti?? Unafahamu mipaka ya chuga wewe??Yani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu asubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaa
Wewe Ujuwi chochote kuhusu siasa ya Arusha.Yani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu hasubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaa
Tuliposema kuwa UVCCM ni wachawi hamkuelewa?RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.
Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.
Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.
Maendeleo hayana vyama!
RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.
Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.
Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.
Maendeleo hayana vyama!
Gambo ndio baba lao Katika unafiki. Inawezekana hao vijana wamempiku kwenye unafiki ndio maana kakimbilia kwa Makonda na kulialia.
Makonda hawezi kumsaidia kupata ubunge mbele ya jungu la vijana UVCCM. Kama kagombana na hao, ajue amekwisha. Vijana mmalizeni kabisa huyu mtu aka shetani maana hafai hata kupata uenyekiti wa mtaa.
Ya kweli hayo mkuu?Kumbe unalijua hilo kuwa wamejaa unafiki?RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.
Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.
Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.
Maendeleo hayana vyama!
Na yeye katoka huko huko. Kama ni wanafki kama anavyodai. Wakija pata nafasi za ubunge na mawaziri ndio hawa tunawaona wanaonge trash huko bungeni
Hahahahhjaa CCM oyeeeeeeeeWacha watoane macho wenyewe kwa wenyewe