Mrisho Gambo: UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao wakizeeka watakuwa Wachawi!

Mrisho Gambo: UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao wakizeeka watakuwa Wachawi!

RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.

Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.

Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.

Maendeleo hayana vyama!
Hao Ma-RC wote wachawi sasa hivi na wachawi husaidiana sana wanaposhambuliwa.
 
RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.

Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea. Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.
Hahahaha! Sasa nimeelewa tatizo la wazee wengi waliopo CCM kwa sasa - walikuwa UVCCM na sasa wamekuwa wachawi!
 
Yani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu hasubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaa
Nyie ndo wanafiki anozungumzia Gambo mkizeeka mtakuwa wachawi
 
Uvccm ndio hawa wanafunzi wa hapa chuon kwetu, wamepewa mashat ya vitenge uwiiiiiiiiiiiiiih, huko karimjee hall, mweeeeeeh hii shida san khaaaaah
 
RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.

Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.

Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe Makonda alikua anamchora tu jamaaa
 
RC Gambo amewaomba vijana wa CCM washirikiane na kupendana.

Gambo amesema UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao kazi yao kubwa ni kupiga majungu na kuendeleza fitina. Hata RC Makonda alipokuwa anashambuliwa na wapinzani hapa Dsm vijana hawakujitokeza kumtetea.
Gambo amesema vijana wanafiki wakizeeka wanakuwa wachawi.

Gambo yuko Dsm akihudhuria kikao cha UVCCM kwa mwaliko wa RC Makonda.

Maendeleo hayana vyama!
Aliliona anguko lake
 
Yani Kama Gambo akichukua fomu anashinda ubunge saa tatu na nusu hasubuhi. Anakubalika hapa chuga na wamama wote, vijana, machaliii, yaani mi ndo niwaaambie Sasa, hao uvccm ni wachache wakiongozwa na Trump fake. Hajatangaza Nia ya kuutaka ubunge yeye Gambo, lakini akichukua fomu akapitishwa na chama atashinda kwa kishindo kikubwa sanaaaa
Duuh!
 
wewe kila kitu huwa unadandia dandia ili nawe uonekane umo. Kuna uzi mwingine ulikuwa unamsifia Gambo kuwa ni Tunu. Hata Bashite mwenyewe na kumsifia kote na kusema anafaa kuwa Rais akitumbuliwa leo lazima utapandisha nyuzi za ramli zako kama kawa.
Nyuzi za ramli tena? Ramli ipi sasa? Chonganishi au patanishi?
 
Back
Top Bottom