Mrisho Gambo: UVCCM kumejaa vijana wanafiki ambao wakizeeka watakuwa Wachawi!

Hao Ma-RC wote wachawi sasa hivi na wachawi husaidiana sana wanaposhambuliwa.
 
Hahahaha! Sasa nimeelewa tatizo la wazee wengi waliopo CCM kwa sasa - walikuwa UVCCM na sasa wamekuwa wachawi!
 
Nyie ndo wanafiki anozungumzia Gambo mkizeeka mtakuwa wachawi
 
Uvccm ndio hawa wanafunzi wa hapa chuon kwetu, wamepewa mashat ya vitenge uwiiiiiiiiiiiiiih, huko karimjee hall, mweeeeeeh hii shida san khaaaaah
 
Kumbe Makonda alikua anamchora tu jamaaa
 
Aliliona anguko lake
 
Nyie ndo wanafiki anozungumzia Gambo mkizeeka mtakuwa wachawi
Yani umenifanya nimecheka kwa nguvu sanaa[emoji857][emoji857][emoji857][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Duuh!
 
wewe kila kitu huwa unadandia dandia ili nawe uonekane umo. Kuna uzi mwingine ulikuwa unamsifia Gambo kuwa ni Tunu. Hata Bashite mwenyewe na kumsifia kote na kusema anafaa kuwa Rais akitumbuliwa leo lazima utapandisha nyuzi za ramli zako kama kawa.
Nyuzi za ramli tena? Ramli ipi sasa? Chonganishi au patanishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…