Rudisheni pesa za Watu mlizopora kwenye bureau na mabenk.
Kuna majizi mengine yalikuwa pale jirani na mnazi mmoja yalitumika na jiwe kuchungulia akaunti za watu na kumpelekea jiwe taarifa yakagawane.
Kama uliporwa pesa zako kwenye akaunti ni kuishtaki benk husika yenyewe ndo inajua nani mwizi.