Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Dikteta mwendazake alikuwa Ni zaidi ya satanHuyu mama hata kama anafanya four wacha tu iwe hivyo Ila sitaki kabisa kukumbuka enzi ya kayafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta mwendazake alikuwa Ni zaidi ya satanHuyu mama hata kama anafanya four wacha tu iwe hivyo Ila sitaki kabisa kukumbuka enzi ya kayafa.
Akafufukie kwao Burundi na Mpango atangulie akampokee huko. Hapa Tanganyika hatutaki hata kumsikia Shetani mkuu yule.Kitu kimoja kwa hakika, ikatokea mwendazake akafufuka, atadedi tena fasta kwa spidi ya Mombardier, sio kwa unafiki huu wallah
acha Jiwe aungue kwa mkaa wa chum huko aliko. Jitu katili kama vile halikuzaliwa na binadamu.In short, Magu atakumbukwa kwa uovu mwingi na ni busara WANA-CCM wenzake au wanafamilia wake wakamuombea msamaha kwa watanzania.