Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

Hakumsikia Mama yake juzi hapa alisema

Kama kwamba Diamond akienda kwenye misiba anakuwa star watu wanamlilia yeye na kuharibu misiba ya watu kwa kufanya watu walie na kuzimia.. na mengineyo aliyoyasema kumtetea..

Bora aendelee hivyo hivyo kutoenda kwenye misiba..

Mwisho wa siku atajiju..
Atume mwakilishi kama Wenzake Wenye majina Makubwa Duniani walivyotuma wawakilishi kwenye msiba wa Ruge,,....Kama Tulivyoona Lowassa,Kikwete ,Mengi walivyotuma wawakilishi wao kwenye msib wa RUGE.
 
Yaani siku hizi ujumbe ni kwenye mitandao tu
Yaani Trump kaharibu watu kwa kweli

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hivi nyerere angeenda kwenye msiba wa idd amini (kama angekuwepo wakati wa kifo) watu mngemuelewa..
Saa nyingine tuache unafiki..
Kama ulikua unamdis marehem wakati wa uhai kwa nini umpende akifa??

Kwani diamond akienda ndio ruge anaenda mbinguni??

Sent using Jamii Forums mobile app
huu mfano wako hata haurelate kabisa. Tafuta mwingine
 
Kweli kabisa mkuu....
Huyu dogo leo amenifanya nitambue, maana halisi ya usemi wa MASIKINI AKIPATA MATAKO ULIA MBWATA.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20190228_205846_658.jpeg
 
Kwa diamond asipofika Ruge hatazikwa?


Tusikuze mambo kila mmoja ana namna ya kuishi wengne huwa hawahuzulii misiba yaani huo ni mwiko kwao [emoji3][emoji3][emoji3]

Wengne wanaenda misibani kwa Masirahi binafsi kama diamond kaona hakuna masirahi why mnamlazimisha?

Mbona Mpoto hukuwahi mlazimisha diamond ahaudhulie Fiesta? Why now?

Kama kweli diamond alikuwa na tofauti na marehemu why Mpoto hakuwahi kupost Post ya kuwasuruhisha?

Diamond ni mtu mzima mimi nadhani haina haja ya kumlazimisha ikizingatia bado marehemu hajazikwa yaweekana anasbri wakati wake ..


Kuna wengne huenda kutoa Pole baada ya kuzika


Kwa ufupi ni unafiki mtu kujitokeza na kuanza kumwita mtu au kumtaja mtu amabaye hajahuzulia msibani

Msibani huwa hatuitani coz kuhuzulia msiba ni namna ulivyoguswa na msiba, undugu wa wahusika, ujirani wao, mahusiano yao, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom