Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

Atume mwakilishi kama Wenzake Wenye majina Makubwa Duniani walivyotuma wawakilishi kwenye msiba wa Ruge,,....Kama Tulivyoona Lowassa,Kikwete ,Mengi walivyotuma wawakilishi wao kwenye msib wa RUGE.
 
Yaani siku hizi ujumbe ni kwenye mitandao tu
Yaani Trump kaharibu watu kwa kweli

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
huu mfano wako hata haurelate kabisa. Tafuta mwingine
 
Kwa diamond asipofika Ruge hatazikwa?


Tusikuze mambo kila mmoja ana namna ya kuishi wengne huwa hawahuzulii misiba yaani huo ni mwiko kwao [emoji3][emoji3][emoji3]

Wengne wanaenda misibani kwa Masirahi binafsi kama diamond kaona hakuna masirahi why mnamlazimisha?

Mbona Mpoto hukuwahi mlazimisha diamond ahaudhulie Fiesta? Why now?

Kama kweli diamond alikuwa na tofauti na marehemu why Mpoto hakuwahi kupost Post ya kuwasuruhisha?

Diamond ni mtu mzima mimi nadhani haina haja ya kumlazimisha ikizingatia bado marehemu hajazikwa yaweekana anasbri wakati wake ..


Kuna wengne huenda kutoa Pole baada ya kuzika


Kwa ufupi ni unafiki mtu kujitokeza na kuanza kumwita mtu au kumtaja mtu amabaye hajahuzulia msibani

Msibani huwa hatuitani coz kuhuzulia msiba ni namna ulivyoguswa na msiba, undugu wa wahusika, ujirani wao, mahusiano yao, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…