Labda wapo waliompigia simu wakachoka ndio jamaa akaamua kujilipua.Ndiyo kabisa kwanini asimpigie simu naye anatafuta sifa, kwani lazima watu wote waende msibani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuweni wenye busara wazazi wana ingiaje hapa why mnapenda kudhalilisha mama zetu.itakua na mama ako anamlala mpk akakumegea siri kubwa kama hii,au usikute na wewe anakulala ndo mana unajua siri zake.
Chuki na wivu wenu kwake ulikuwepo tangu akiwa hai sasa mnaanza kumuonea wivu hadi kwa sie tulioguswa na msiba yani wivu na chuki hadi kwa marehemuChuki unazo wewe.
Yaan hata Diamond hasipokuja msibani wewe unaumia.
Kuna kitu unakitafuta we mtu eeehHuyo kapeace ni kanafki tu.
Kuna njemba ili mpatia sperm halafu ikaingia mtini so anajaribu kupunguza vihasira vyake.Mbona mkali mrembo ?
Huyo ni mtu wa kumsamehe tu. Na hili tatizo la kuhukumu watu kwa maneno ya kuambiwa wanalo watanzania wengi.Sometime hata kama una chuki na mtu angalia pia na maneno ya kuongea mkuu,,,afu si jambo jema hata kidogo kumdhalilisha mama wa mwenzio tena kwa kitu ambacho huna uhakika,umesikia tu kwa mtu ambaye naye amesikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu kama hicho,tatizo watz tuna amini insta ndio kila kitu,umemkosa kwenye simu Mondi yupo Dar kwake unapajua,kwa nini usiende kumwambia.ili hata yeye mwenyewe akose sababu.Huu unafiki.Labda wapo waliompigia simu wakachoka ndio jamaa akaamua kujilipua.
Tena hii ni advantage kwake hata kama alikuwa na hofu hapo awali sasa anaweza kwenda kwa mgongo wa kumsikiliza Mpoto.
Nimeitwa mrembo ishakuumaKuna njemba ili mpatia sperm halafu ikaingia mtini so anajaribu kupunguza vihasira vyake.
Umemaliza unafiki wao wote.Hivi nyerere angeenda kwenye msiba wa idd amini (kama angekuwepo wakati wa kifo) watu mngemuelewa..
Saa nyingine tuache unafiki..
Kama ulikua unamdis marehem wakati wa uhai kwa nini umpende akifa??
Kwani diamond akienda ndio ruge anaenda mbinguni??
Sent using Jamii Forums mobile app
unapata taabu za kujitakia. lala ukueChuki na wivu wenu kwake ulikuwepo tangu akiwa hai sasa mnaanza kumuonea wivu hadi kwa sie tulioguswa na msiba yani wivu na chuki hadi kwa marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahitaji kufanyiwa maombi maana hizi chuki kwa Diamomd sio za kawaida. Halafu jamaa alie donate sperm zake kwako nae inabidi umsamehe tu.Nimeitwa mrembo ishakuuma
Pale kidume anapojipitisha pitisha mbele ya mwanaume mwenzie
Polee
Sent using Jamii Forums mobile app
JAMII ITAFARIJIKA SANA IKIMUONA KIJANA WETU MPENDWA akiitikia wito