Sure, noma sana kukaa Dar afu unakua zoba, sisi wa S/wanga hatubebi cash
hahahahaah,,,,,,,,ana bahati sana. Hivi alikuwa pekupeku??
hahahahaah,,,,,,,,ana bahati sana. Hivi alikuwa pekupeku??
Hahahahaaaa
hahahahaah,,,,,,,,ana bahati sana. Hivi alikuwa pekupeku??
Hao wabenki wamejuaje kama anafuatiliwa??
Michongo mingi ya majambazi ya hela huwa inaanzia bank,,,,itakuwa kulikuwa na dalili ya kudhulumiana ndio maana wale wa bank wakaamua bora waharibu ili wakose wote
Au hata muuzaji/dalali, na inawezekana ndiye aliyemuhimiza Mjomba apeleke cash....ila hata kama angevamiwa na kuporwa sidhani kama jamii ingemsikitikia zaidi ya kumuona amejitakia.
Juzi ijumaa Mpoto alinusurika kuporwa kiasi kikubwa cha pesa wakati akitoka bank ya CRDB Mbagala kwenda kigamboni kupitia kongowe
Kwa mujibu wa maelezo yake nwenyewe alikuwa anaenda kununua nyumba kigamboni lakini ghafla akiwa njiani baada ya kutoka bank alipigiwa Simu toka bank kuwa kuna majambazi wanamfuatilia na alimame hapo hapo alipo na atapata msaada wa polisi
Kweli alisimama na akapata msaada na majambazi wakasepa
My take: biashara ya kubeba cash kuwa kwenda kufanya mauziano ya vitu imepitwa na wakati na ni hatari siku hizi mnakubaliana bei mnaandikishiana mnaenda kumalizana bank
Tatizo linaweza kuwa ni muuzaji wa nyumba. Hataki mambo ya bank. Kuna wakati niliuza kijishamba changu. Mpemba alikataa katakata kufanya mauzo tukiwa Bank. Ilibidi kuchukua risk kupewa cash na kizikimbiza bank!
Michongo mingi ya majambazi ya hela huwa inaanzia bank,,,,itakuwa kulikuwa na dalili ya kudhulumiana ndio maana wale wa bank wakaamua bora waharibu ili wakose wote