Watanzania washamba sana sisi..hiyo $80,000 ni mshahara wake wa kiaka mitatu ..yaani alipwe hizo kwa mwezi nakataa kanisa!
lazima ukatae maana hata kuandika vizuri hujui, hayo maandishi machache tu yanakuchanganya unakurupuka tu kuelezea kitu ambacho hujakielewa.