Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida kabisaWapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.
PichaWapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.
Mkuu hutaki aongee na wazazi wake?Wapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.
Mswahili ameshatia timu na assumptions zake.Mkuu hyo mpemba Yuko busy na miamala ya biashara za familia wala isikushangaze chezea mapato yanayoingia kwenye makampuni kama Azam na Tropical Ile vifaa vya Umeme unafanya masihala nini Bado mihela ya Consolidated fund ya Ikulu wewe kausha watu wneemeke Kama hujapasi nguo zako za kijiwe cha kuganga njaa pasi ujiandae na Blue Monday
Wivu tu.Mkuu hyo mpemba Yuko busy na miamala ya biashara za familia wala isikushangaze chezea mapato yanayoingia kwenye makampuni kama Azam na Tropical Ile vifaa vya Umeme unafanya masihala nini Bado mihela ya Consolidated fund ya Ikulu wewe kausha watu wneemeke Kama hujapasi nguo zako za kijiwe cha kuganga njaa pasi ujiandae na Blue Monday
Kupitia simu ya mkononi ya mke maadui wanaweza kufanya maangamizi kwa rais.Sasa kuna shida gani mkuu kwani
Siyo mchepuko?Alikuwa anajibu followers wake TikTok
Nafikiri ni hulka/tabia za/ya mtu au watu au jamii. Kwa level ya mke wa rais haipendezi hata kuibeba hiyo simu ndio maana wanaajiriwa wasaidizi.Kuna protocol unazozijua wewe zinamzuia First Lady asitumie simu?
Ka ushahidi mkuuWapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.
Tungeshangaa sana kama post hii ingeandikwa na mwanaume mwenzetu.Wapendwa habari?
Naangalia hapa kupitia ZBC Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Daktari Hussein Ali Mwinyi akiwa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirizi Pemba.
Mh. Raisi anapata burudani kutoka vikundi mbalimbali huku pembeni yake akiwa na Mke wake.
Kilichonishangaza ni kuona mara nyingi Mke wa Mh. Raisi akiwa busy na Simu.
Watu wa protocol naomba kuuliza, Je hili linaruhusiwa?.
Humu ndani kuna majibu ya kila swali 😁Kama ana kifurushi inaruhusiwa