Ndivyo tulivyokuwa tunapeana habari baada ya timu ya Russia kuondolewa kwenye mashindano hayo kwa kosa la kuivamia Ukraine Kijeshi, kwamba rais Putin ametangaza kuwa hakutakuwa na kombe la dunia kwa vile timu yake imeondolewa ikitafsiriwa Urusi itapeleka mashambulizi huko Qatar ili shughuli za kombe la dunia zifeli mpaka pale timu ya Taifa ya Russia nayo itakaposhiriki.
Naleta kwenu wadau kwa uchambuzi na ukweli wa kauli hii Je Rais Putini alitamka kweli? na kama alitamka ni kwanini sasa kombe la dunia linaendelea kuchezwa kwa shangwe na hoi hoi nchini Qatar ambapo jana mwenyeji alilala 2 kwa sufuri.
Naleta kwenu wadau kwa uchambuzi na ukweli wa kauli hii Je Rais Putini alitamka kweli? na kama alitamka ni kwanini sasa kombe la dunia linaendelea kuchezwa kwa shangwe na hoi hoi nchini Qatar ambapo jana mwenyeji alilala 2 kwa sufuri.