Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No drone maarufu kamikaze au suicide drone ,wapinzani walivyosikia walichukulia vitu vidogovidogo sana,genius engineer wa Russia wakajifungia waka study wakaviongezea uwezo hasa katika target final and impact.
View attachment 2407707
Kenge wewe ulijua Himars ni bunduki inapiga kila mahali ile ina target zake kama kambi za kijeshi na madaraja na hamjafanikiwa kudaka hata moja na hamtafanikiwa kabisa zinalindwa haswaMa engineer wa Urusi matata sana, kuna wakati fulani roketis za HIMARS zilikuwa zina sumbua sana - Warusi walipo fanikiwa kutia mkononi roketi moja ikiwa bado intact walipeleka kwenye maabara za kijeshi huko Moscow wakaifanyia uchunguza kwa kina baada ya hapo wakazifanyia marekibisho computer Algorithms za air defense systems zao ndio maana siku hizi ni nadra kusikia tena masuala ya HIMARS Warusi walisha pata PANADOL ya ku-deal nazo, tinacho sikia sana siku hizi ni idadi za roketi za HIMARS zinazo tunguliwa/intercepted na Russian air defense systems - hazitambi tena labda kwa kuibia ibia tu.
Kitu loitering munition 😹No drone maarufu kamikaze au suicide drone ,wapinzani walivyosikia walichukulia vitu vidogovidogo sana,genius engineer wa Russia wakajifungia waka study wakaviongezea uwezo hasa katika target final and impact.
View attachment 2407707
Himars zimeangamizwa na loitering munition 😹😹Kenge wewe ulijua Himars ni bunduki inapiga kila mahali ile ina target zake kama kambi za kijeshi na madaraja na hamjafanikiwa kudaka hata moja na hamtafanikiwa kabisa zinalindwa haswa
www.sandboxx.us
Uzuri anawaambia kabla ya kutoa kichapo🏃🏃Wajaribu kumpa silaha itakayofika Moscow hapo ndipo Kiev itageuzwa upside down
Hii kali sana!! Kitu kinazubaa zubaa angani kumbe kinasubiri target ionekane kisha kinaelekea hapomkwa kasi na kufanya vitu vyake!!Kitu loitering munition 😹
Mabeberu wote wametolewa mapangoni na kitu loitering munition 😹Hii kali sana!! Kitu kinazubaa zubaa angani kumbe kinasubiri target ionekane kisha kinaelekea hapomkwa kasi na kufanya vitu vyake!!
Kuna Fateh [emoji38][emoji38][emoji38]Kichapo cha kemikazeView attachment 2407846View attachment 2407848
Mnatamani mseme Kamikaze zilitoka Israel Ila mnaona aibu, Sasa mnaropoka ooh mrusi kaziupdate, hakuna kuapdate hapo.Ni drone maarufu kamikaze au suicide drone ,wapinzani walivyosikia walichukulia vitu vidogovidogo sana,genius engineer wa Russia wakajifungia waka study wakaviongezea uwezo hasa katika final target and impact.
View attachment 2407707
Mhmm, ijapokuwa umetukana, ila nikukumbushe kufuatilia habari ya BBC J.tano iliyopita kuwa Rocket 14 za Himars zilizofyatuliwa 12 zilizuhiliwa anganiKenge wewe ulijua Himars ni bunduki inapiga kila mahali ile ina target zake kama kambi za kijeshi na madaraja na hamjafanikiwa kudaka hata moja na hamtafanikiwa kabisa zinalindwa haswa
Lete source broMhmm, ijapokuwa umetukana, ila nikukumbushe kufuatilia habari ya BBC J.tano iliyopita kuwa Rocket 14 za Himars zilizofyatuliwa 12 zilizuhiliwa angani