Ms Leejay is back

Mungu akusimamie mrembo urejee kwenye swiha njema.
 
Allah ni mwema - nipo kwa mkapa nafatilia mashindano ya Quran
Mkuu kwanini huku nitaarifu sasa
Hivi kwanini msisubiri akatuma hiyo thread mwenyewe kuliko kushoboka namna hii?

Haiombwi hivyo bro
Acha kuwa na negativity Mzee kama haupendi nyamaza kuliko kuandika chuki hapq
 
Karibu sana tajiri kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…