Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
Mungu ni mwema karibu tena jukwaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni mwema karibu tena jukwaani.
Asante rafiki,. Tuendelee kufurahia jukwaa Letu🙏Mungu ni mwema karibu tena jukwaani.
Pole na hongera kwa kupona dear, Mungu ni mwema 🙏Asante rafiki,. Tuelendee kufurahia jukwaa Letu🙏
❤️❤️Pole na hongera kwa kupona dear, Mungu ni mwema 🙏
Nimeipenda sana hii,. What a friend🥰🥰
Pole sana na hongeraa piahNimeipenda sana hii,. What a friend🥰🥰
Get well soon. We love you so muchView attachment 3069839
Wakuu nawasalimia wote, Jana jioni rafiki yetu Ms Leejay49 alitusambazia upendo na watu wengi tulifurahi pamoja na wengine wenye roho zao nyeusi wakaanza kuanzisha nyuzi za mafumbo kupinga kile kinachofanywa na hawa Dada na rafiki zetu Bantu Lady na Ms Leejay49 .
Kipindi cha Nyuma nilishawahi kumuanzishia uzi Leejay49 kumpa compliments zangu. Huyu mwenzetu leo anafanyiwa upasuaji wa Jicho na Sikio. Mimi naamini kila kitu kitakuwa sawa. Kwanza huyu Mwenzetu kwa muda mrefu amekuwa akipitia changamoto ya Kiafya lakini still alikuwa haonyeshi hofu wala unyonge wa kutia tia huruma. Na toka kipindi cha nyuma aliandika humu kuelezea hilo tatizo linalosababisha leo afanyiwe operation. Siku zote amekuwa humu akianzisha nyuzi, akitu bless na vocha hata PM anakurushia tu hana baya, watu wanamchongea kwa Mods anapigwa ban na bado anarudi na tunaendelea kufurahi pamoja. Ana roho ya Kijasiri sana Ms Leejay49 pamoja na Changamoto ya kiafya aliyokuwa nayo lakini aliificha kwa kujichanganya na Sisi humu pale kwenye kufurahi tulifurahi sote, kwenye huzuni tulihuzunika, pale walipo sutana na Yeye kama Binadamu alirusha madongo. 😃
Sina mengi ya kuandika , kokote uliko Ms Leejay49
🧎♂️🤲🏼"Nakuombea upate nafuu haraka.
❤️Uwe na nguvu na moyo wa ujasiri katika kipindi hiki cha changamoto.
❤️""Pole na hali unayopitia, lakini ninaamini utaimarika na kurudi kwenye hali yako ya kawaida hivi karibuni.""
❤️Nakuombea uponyaji wa haraka na urejee kwenye hali nzuri ya afya.""
🤲🏼Binafsi Niko nawe katika sala na mawazo. Pumzika vizuri na upone haraka.""
Natumai siku zako zijazo zitajawa na afya njema na furaha. Upone haraka."
#UponeHarakaLeejay49❤️❤️❤️
Ms Leejay is backGet well soon. We love you so much
urassa upoKaribu tajiri Leejay49
ni jambo jema binti yanguAsante rafiki,. Tuendelee kufurahia jukwaa Letu🙏
Nipo mkuuurassa upo
Maana ya mtu mzima kisheti ni nini mkuuMtu mzima kisheti kujikombolakombola na nyuzi hulambi lolote kwa binti huyu sasa mshika mapembe
Mtu mzima anayefanya mambo ya kitoto maana visheti vyaliwa na watoto, ya hovyo , yani hana lolote, na mfano ni huyu anaejipendekeza pendekezaMaana ya mtu mzima kisheti ni nini mkuu
Mhh😂🙌🙌Mtu mzima anayefanya mambo ya kitoto maana visheti vyaliwa na watoto, ya hovyo , yani hana lolote, na mfano ni huyu anaejipendekeza pendekeza