TZ ME
Member
- Dec 22, 2014
- 77
- 61
Habari wana jf,
Nahitaj msaada wa kitaalamu mi kijana nna umri miaka 26 nna girlfrnd wangu ana miaka 21 tumekuwa pamoja kwa miaka mitatu sasa ila kuna tatizo analo mpnz wangu huyo.
Akifikia period huwa anaumwa sana tumbo na huwa znamtoka damu nyng sana wakati flani anapoteza nguvu kabisa period yake huwa inamchukua siku saba (japo kwamfumo wa afya ya uzazi ni sahihi) hata hivyo mpenzi wangu huyu tunapokutana anapata maumivu tukirudia tendo la ndoa mara ya pili na zaidi maana awamu ya pili huwa mkavu kabisa majimaji hayatoki na damu humtoka huku akilalamikia maumivu tukiwa pamoja.
Inafkia wakati shuka au matulo huwa vinachafuka sana hasa kama kiu haijatuishia tukirudia kufanya mapenzi,pls wanajukwaa naombeni msaada wa kitaalamu wala tusichangie kwa kebehi na matusi.
Nahitaj msaada wa kitaalamu mi kijana nna umri miaka 26 nna girlfrnd wangu ana miaka 21 tumekuwa pamoja kwa miaka mitatu sasa ila kuna tatizo analo mpnz wangu huyo.
Akifikia period huwa anaumwa sana tumbo na huwa znamtoka damu nyng sana wakati flani anapoteza nguvu kabisa period yake huwa inamchukua siku saba (japo kwamfumo wa afya ya uzazi ni sahihi) hata hivyo mpenzi wangu huyu tunapokutana anapata maumivu tukirudia tendo la ndoa mara ya pili na zaidi maana awamu ya pili huwa mkavu kabisa majimaji hayatoki na damu humtoka huku akilalamikia maumivu tukiwa pamoja.
Inafkia wakati shuka au matulo huwa vinachafuka sana hasa kama kiu haijatuishia tukirudia kufanya mapenzi,pls wanajukwaa naombeni msaada wa kitaalamu wala tusichangie kwa kebehi na matusi.