Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,212
Kuna mtu aliniuzia kiwanja nikafata taratibu zote kama kupitia kwa mwenyekiti wa mtaa....na Afisa mtendaji, Baadae kufatilia katika kutafuta hati nikaja kugundua kiwanja sio chake,
Nimefungua kesi mahakama ya wilaya, akaitwa... hakimu akasema anaitaji mashaidi, bahati mbaya mtu niliyemtumia kama shaidi yangu yuko mkoani kizazi, hakimu anasema yeye anataka shaidi... ninamikataba yote aliyosaini pamoja na picha zake.... kipi chakufanya nipate haki yangu?
Nimefungua kesi mahakama ya wilaya, akaitwa... hakimu akasema anaitaji mashaidi, bahati mbaya mtu niliyemtumia kama shaidi yangu yuko mkoani kizazi, hakimu anasema yeye anataka shaidi... ninamikataba yote aliyosaini pamoja na picha zake.... kipi chakufanya nipate haki yangu?