nimekuja hapa kwakua nilishawai kwenda ofisi moja na nikaambiwa haiwezekani na baada ya kuja hapa nikapewa maarifa mwisho wa siku nikafanikiwa ...... Samahan kama nimekupotezea mudaUnataka msaada gani zaidi ya kuupata hukohuko kwenye ofisi za mafao! Usituchoshe aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
n kutokujua mkuu, sababu wao ndio walionambia kua mm n Expert .... baada ya kuisoma termination yangu, nilikua nahudumu kama marketing officer..... kwaio wakanambia kwa nafasi iyo ww n Expert, mwenyewe nikashangaa, lkn wazo lako nitalifanyia kazi.... thxkwanini wewe uliamua kujitangaza kama expert?uliamua kujimwambafai siyo?rudi ofisini kwako kwa zamani waombe wakuandikie barua ya kusitisha mkataba ama sababu nyingine yoyote inayokubalika huko nssf ili uendelee na taratibu za kuchukua hayo mafao kwa namna wanavyopata wengine
Ndo hapo sasa. System zao za ajabu kwakweli.Pole sana mkuu
pesa za kwako lkn unapangiwa matumizi
utadhan wanakusaidia kuitafuta vile