Msaada aliyepata mafao baada ya miaka 7 ya kazi 2019

Msaada aliyepata mafao baada ya miaka 7 ya kazi 2019

Heater

Senior Member
Joined
May 28, 2019
Posts
168
Reaction score
350
Nimefanya kazi kwa miaka 7, hatimaye kibarua kimefika tamati.

Mwezi uliopita nikaenda ofisi za Mafao - Ubungo Plaza nikaambiwa niwasilishe madai lakini hawajapewa muongozo toka juu kuhusu kulipa watu ambao ni Expert.

Hivyo madai yangu yatapokelewa na kuwekwa pending mpaka pale muongozo utakapotolewa toka juu.

Akili yangu haijawa vizuri mpaka hivi sasa, kwa yoyote ambae ana sifa zinazofanana na zangu lakini amefanikiwa kwa hii miezi minne au mitatu, tafadhali naomba msaada.
 
Unataka msaada gani zaidi ya kuupata hukohuko kwenye ofisi za mafao! Usituchoshe aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuja hapa kwakua nilishawai kwenda ofisi moja na nikaambiwa haiwezekani na baada ya kuja hapa nikapewa maarifa mwisho wa siku nikafanikiwa ...... Samahan kama nimekupotezea muda
 
Mie wamenipa kidogo alafu sasa hivi wamestop, nimefuatilia na nimeambiwa nisubiri miezi 18, sasa sijui wananiombea nife ama?
 
kwanini wewe uliamua kujitangaza kama expert?uliamua kujimwambafai siyo?rudi ofisini kwako kwa zamani waombe wakuandikie barua ya kusitisha mkataba ama sababu nyingine yoyote inayokubalika huko nssf ili uendelee na taratibu za kuchukua hayo mafao kwa namna wanavyopata wengine
 
kwanini wewe uliamua kujitangaza kama expert?uliamua kujimwambafai siyo?rudi ofisini kwako kwa zamani waombe wakuandikie barua ya kusitisha mkataba ama sababu nyingine yoyote inayokubalika huko nssf ili uendelee na taratibu za kuchukua hayo mafao kwa namna wanavyopata wengine
n kutokujua mkuu, sababu wao ndio walionambia kua mm n Expert .... baada ya kuisoma termination yangu, nilikua nahudumu kama marketing officer..... kwaio wakanambia kwa nafasi iyo ww n Expert, mwenyewe nikashangaa, lkn wazo lako nitalifanyia kazi.... thx
 
Mie wamenipa kidogo alafu sasa hivi wamestop, nimefuatilia na nimeambiwa nisubiri miezi 18, sasa sijui wananiombea nife ama?
Pole sana mkuu
pesa za kwako lkn unapangiwa matumizi
utadhan wanakusaidia kuitafuta vile
 
Hapo ndo utapokijua Chama cha Mapinduzi.
Inawezekana n kweli au pia yakawa yaleyale, Maana wanasiasa n kama mwanaume anaemtaka mtoto wakike, wenda anampenda au ni blahblah huwezi jua mpka uingie ndani
 
Back
Top Bottom