Msaada anae weza tambua hizi code

Mr DIY

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2016
Posts
1,188
Reaction score
2,553
Habari, inaonekana simu yangu imekuwa ikituma hizi code for sometimes now hasa kupitia mtandao wa Yas, zinafanana na last day imetuma jana usiku muda huo nilikuwa far asleep, kwa yeyote alie na idea hizi code zimeenda 15711 kwa ajili ya nini.? Nimelazimika ku crop screenshot sije nikawa nna expose details zaidi
 
Hukusachi walumi blohh
 
Hizo ni msg za (DCB) Direct Carrier Billing ni njia ya kufanya malipo moja kwa moja kupitia account/balance yako ya simu, so hapo kuna kitu kinataka kula balance yako.

So kutakuwa kuna malware umeinstall kwa chance kubwa, kama umeinstall app yoyote ambayo haijatoka playstore yaani umetumia apk ifute, pia chunguza permissions kwenye settings za simu kama kuna app ambayo ina sms permission ambayo sio app ya sms.

Chunguza play store kama umefanya subscription ya aina yoyote.

Kama yote yakishindikana jaribu reset ya simu.
 
Mia Khalifa anakutumia msg hapo kuwa ametoa mzigo mpya uende ukaangalie.
 
Shukrani umenipa mwanga, inakuwaje carriers hawaijui kabisa hii code?

.....namba hii 15711 sio moja ya huduma zetu. Jibu la Yas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…