Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 kumbe hujuiKumbe Hana kifua mxiiu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 kumbe hujuiKumbe Hana kifua mxiiu
C umuulize au unamuogopa mkuu?Habari zenu ndugu wana JF,
Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.
Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.
Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Kabisa Mkuu, huyo anakuwa hajafikishwa Kibo kwahiyo anamshtua mumewe aendelee kumkuna 😅🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kibo
Atanyooka🙉Mithali 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
anataka gemuHabari zenu ndugu wana JF,
Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.
Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.
Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Nimekula sana mgagi mpaka ukanikata lips, bila shaka mgagi ni vijimuwa vya mmea wa mhindi? Au nimekosea dada?Mdogo wangu Half american born town mgagi anaujulia wapi?
Tayari au bado unasubiri tamko kutoka kwa yule bw?😅Eee wote nitawapm wasijali 😂😂😂
Ni mgagani au? Ka aunt kako kanatafuna sana Meno, nielekeze.Minyoo mtafutie mgagi huyo
Kibongobongo, hapo kuna hofu ya kurogwa..!!Kwani unahofia nini
Ni mgagi dear ngoja nigugo picha hebuNi mgagani au? Ka aunt kako kanatafuna sana Meno, nielekeze.
🤣🤣🤣 Yule bw yupo mlangoni mwa pmTayari au bado unasubiri tamko kutoka kwa yule bw?😅
Mfukuzie mbali kama huna mbinu nikufundshe🤣🤣🤣 Yule bw yupo mlangoni mwa pm
🤣🤣🤣 Lete mbinu tuone km zitafaaMfukuzie mbali kama huna mbinu nikufundshe
😂 ila usije ukaua sitak kesi🤣🤣🤣 Lete mbinu tuone km zitafaa
Hujaulizwa🤣🤣unalogwa stuka
Dudyu la yuyu lisikuponze
Btw good morning 🌞
Kumbe za kuua? Hizo sizitaki baki nazo 😔😔😂 ila usije ukaua sitak kesi