Msaada: Ananisugua kiganja nyakati za usiku nikiwa nimelala

C umuulize au unamuogopa mkuu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kibo
Kabisa Mkuu, huyo anakuwa hajafikishwa Kibo kwahiyo anamshtua mumewe aendelee kumkuna 😅🙌

Ukikutana na binti wa miaka 21 hadi 28 wanakuwaga na Kiu sana, kwahiyo kama sio mtu wa kazi lazima akusumbue 🤪
 
Sisi hatuwezi kukupa majibu sahihi, mbananishe huyo mkeo akwambie kwanini anasuguaga kiganja chako

Wakati unamuuliza hakikisha una upanga na fimbo mkononi.
 
anataka gemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…