Unampenda rihanna ww ππ€£ mnafanana nn?
Akikusugua kiganja nawe msugue jicho mkuu hatorudia tena kukupotezea usingizi wako.Habari zenu ndugu wana JF,
Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.
Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.
Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Jirani kumbe una moyo mnyoofu πKumbe za kuua? Hizo sizitaki baki nazo ππ
Kuua hapana jirani tena kwa mtu anayenipa raha? π€£π€£π€£Jirani kumbe una moyo mnyoofu π
Sijibu yani wewe unataka kunifundisha misemo ya byuti byuti saluni πKuua hapana jirani tena kwa mtu anayenipa raha? π€£π€£π€£
We kuweza?
[emoji23] maajabu hayaishiHabari zenu ndugu wana JF,
Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.
Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.
Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
I like this partMithali 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
[emoji23]Ujinga mwingine bana, umeshindwa kumuuliza mkeo unatuuliza sisi kama tunasuguliwa wote?!