Msaada: Anataka kununua eneo aanze kuchimba Dhahabu

Msaada: Anataka kununua eneo aanze kuchimba Dhahabu

Unaweza kukuta Shamba lako mwenyewe lakini unakuta ni Kitalu cha mtu😁 patamu hapo.
 
Unaweza kukuta Shamba lako mwenyewe lakini unakuta ni Kitalu cha mtu😁 patamu hapo.
Mtu mwenywe prospecting license (leseni ya uchunguziwa madini ) ndio na hio nguvu leseni zao zinawaruhusu kufanya uchunguzi kwenye maeneo makubwa yanaweza hata kufika ukubwa wa wilaya.

Kama eneo lako yamegundulika madini Kuna kuwa na land compassion Yani mwenywe eneo unapewa fungu lako na muwekezaji ukigoma serikali linachukua kwa nguvu
 
Huu uzi hapa unaonekana hausogei lakini ukiifungulia kwenye comment unaonekana unaendeleaje Kuna comment hapa hazionekani sijui shida nini Modes!
 
Mtu mwenywe prospecting license (leseni ya uchunguziwa madini ) ndio na hio nguvu leseni zao zinawaruhusu kufanya uchunguzi kwenye maeneo makubwa yanaweza hata kufika ukubwa wa wilaya.

Kama eneo lako yamegundulika madini Kuna kuwa na land compassion Yani mwenywe eneo unapewa fungu lako na muwekezaji ukigoma serikali linachukua kwa nguvu
Wakati nimeona Australia kuna Mkulima gesi imepatikana kwenye shamba lake akaingizwa kwenye ubia na Kampuni ya Mwekezaji.

Sisi Waafrika tulishalaaniwa na Mizimu fulani.
 
Mkuu unaweza fafanua how it works.Kuna eneo nimepewa share na nimeelezwa amepatikana mbia na wameshaigia mkataba. Kama unaweza kufafanua zaidi unafanyaje kazi huo ubia. Nimeambiwa Kuna fedha ya meza pia huwa inakuwaje mkuu. Tafadhali
Huku kinachofanyika unaonyeshwa sehemu ya kuchimba/duara na wenye leseni, baada ya uchimbaji and all process utawapa either 15% au zaidi itategemea na makubaliano yenu, lakini haizidi 30% ya utakacho pata. Mimi ni Masumbwe, wilaya ya Mbogwe, mkoa wa Geita.

Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
 
Anaonekana yuko vizuri basi ni vyema angefanya consultation na kampuni za utafiti wa madini watampa mawazo mazuri, pia afanye exploration na drilling apate uhakika wa mali iliyopo chini gharama za exploration na drilling sio chini ya 50mil so ajipange ila zitarudi.
 
Back
Top Bottom