DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Kuna watu watafeli huu mtihani..
Nakumbuka nikiwa f2 huko Tabora kuna mwl wangu wa civis alitoa test matata sana,yani maswali mepeeesi kweli kweli tena 5 question's only,but nakumbuka kwenye paper juu pale kwenye maelezo iliandikwa "Civis test,don't answer any question from this paper" alafu akatoa 5mins..aloh watu kuchungulia wakaona maswali mepeeeesi,wakainama kupiga,binafsi my dady alikua akinihusia kila siku,kwamba ukipewa mtiani wowote first of all soma maelezo ndio ufanye,so baada ya kuona maelezo hayo kwamba "don't answer any question" mwanaume nikaandika Tu jina na tar nikakusanya paper,kilichofuatia baada ya matokeo yani ilikua ni barrrrrra mazee,darasa zima kwenda kulima shamba la mtama la shule mchana wa jua kali.The same as here!!
Nakumbuka nikiwa f2 huko Tabora kuna mwl wangu wa civis alitoa test matata sana,yani maswali mepeeesi kweli kweli tena 5 question's only,but nakumbuka kwenye paper juu pale kwenye maelezo iliandikwa "Civis test,don't answer any question from this paper" alafu akatoa 5mins..aloh watu kuchungulia wakaona maswali mepeeeesi,wakainama kupiga,binafsi my dady alikua akinihusia kila siku,kwamba ukipewa mtiani wowote first of all soma maelezo ndio ufanye,so baada ya kuona maelezo hayo kwamba "don't answer any question" mwanaume nikaandika Tu jina na tar nikakusanya paper,kilichofuatia baada ya matokeo yani ilikua ni barrrrrra mazee,darasa zima kwenda kulima shamba la mtama la shule mchana wa jua kali.The same as here!!