Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Ni binti wa Kiislam siyo, ni FauziaFoxy au gaidi lingine?Wadau jamani tukiacha matani ni wapi mty aende akatolewe jini mahaba anasumbua sana kiasi cha kuua hata walio karibu na huyu dada mpaka nasasa amekuwa anaadhiri sana maisha yake.
Ikiwemo uchumba kuharibika na riziki pia kaombewa, kanywa mafuta kafanya kila kitu umri unaenda naombeni mumsaidie kwa wenye roho za huruma.
Kunywa mafuta na kupiga makelele bila imani hakutamponya.Wadau jamani tukiacha matani ni wapi mty aende akatolewe jini mahaba anasumbua sana kiasi cha kuua hata walio karibu na huyu dada mpaka nasasa amekuwa anaadhiri sana maisha yake.
Ikiwemo uchumba kuharibika na riziki pia kaombewa, kanywa mafuta kafanya kila kitu umri unaenda naombeni mumsaidie kwa wenye roho za huruma.
Hakuokoka, Mimi nilishakua Muhanga miaka 15 na siku niliyoamua kuachana na Matamanio ya Dunia hii, hayo Madude yalitafuta pa kwenda, na Wala sikuhangaika kuyaombea ama kuyakemea, Wala sikwenda kuombewa ilikua Mimi tu na Moyo...! Japo mwanzo nimezunguka Sana Kwa Waganga wengi mpaka nje ya Nchi, nimeombewa Sana mpaka Kwa Mwamposa ila haikusaidia...! Ilibidi Mimi mwenyewe niamue.
Watu wengi hapa hawana uzoefu na Hayo Madude zaidi ya kusikia story tu.
Kama kweli Ndugu yako ana changamoto, njoo in box tubadirishane namba, ntamsaidia tu Kwa kumpa Mwongozo na Yesu atamweka huru..!
Ipo sababu ya Kwa Nini ameshambuliwa na Mimi ntamfanya ajitambue Kiroho na itamsaidia kwenye safari yake...!
"Mti wenye Matunda ndo unaopigwa Mawe.
anitafute kwa maombezi Baba messiah atamponyaWadau jamani tukiacha matani ni wapi mty aende akatolewe jini mahaba anasumbua sana kiasi cha kuua hata walio karibu na huyu dada mpaka nasasa amekuwa anaadhiri sana maisha yake.
Ikiwemo uchumba kuharibika na riziki pia kaombewa, kanywa mafuta kafanya kila kitu umri unaenda naombeni mumsaidie kwa wenye roho za huruma.
Wewe ni kati ya wale vijana wajinga kabisa.Sio kweli...!
Wengi mnaandika tu Kwa story za kuskia.....!
UpiMlete ofisini kwamsaada zaidi.
Wewe unayeongea Vitu kama unavijua wakati huvijuiWewe ni kati ya wale vijana wajinga kabisa.
Unapoona 'uongo' wewe njoo na true evidence ili upingane na fake article and replies.
Vinginevyo wewe ni jini au utakuwa umetumwa nalo lenyewe!.
Wewe unaongea Vitu vya kusikia ukifanya kama unavijua Sana...!Wewe ni kati ya wale vijana wajinga kabisa.
Unapoona 'uongo' wewe njoo na true evidence ili upingane na fake article and replies.
Vinginevyo wewe ni jini au utakuwa umetumwa nalo lenyewe!.
Ni sahihi Mkuu, mwanzo nilipoteza muda Sana Kwa story za kusikia, mara ukilala na mfupa wa kitimoto, sijui yataondoka, mara ukivuta Bange sijui yataondoka, nikifanya yote na mengine mengi ilikua kazi Bure.HAKIKA ni swala la kufanyika kiumbe kipya tu na huo uchafu Wote utakimbia na kwenda kutafuta Makazi mengine
Kwamwe Nuru na giza haviwezi kuchangamana, mahali penye Nuru uwezi kukuta giza, Kwaiyo akiipokea Nuru ya ulimwengu ambaye ni YESU KRISTO hayo yote hatoyaona Tena
Ana geuka anatoa macho nakuhangaika hangaika kama nyoka anatishaga sana na anaoza kifua ni na shingoni na anakuwa anahasira hapo ndio anaachikaga na watu wakeAkiwa amepandwa na hilo jini hua anakuaje π
Mbona Mm navyojua kwa mwanamke ukiwa na jiji mahaba muda wote unakuwa unataka kusokomezewa mashine na pia kuamka asubuhi na kukuta umeshalimwaga, ww h yako n jini mahaba gn huyo?Ana geuka anatoa macho nakuhangaika hangaika kama nyoka anatishaga sana na anaoza kifua ni na shingoni na anakuwa anahasira hapo ndio anaachikaga na watu wake
Jini nyokaMbona Mm navyojua kwa mwanamke ukiwa na jiji mahaba muda wote unakuwa unataka kusokomezewa mashine na pia kuamka asubuhi na kukuta umeshalimwaga, ww h yako n jini mahaba gn huyo?
Jini wa mchongo huyo au itakuwa huyo mama ajifanyisha tuu ila hana jini yoyote yuleJini nyoka