Msaada: Anayejua bei kwa Tsh ya hii toy anisaidie

Msaada: Anayejua bei kwa Tsh ya hii toy anisaidie

Mkuu kwema??
Na Tablets za watoto za Wi-Fi na/au za Line zinaweza kupatikana kwa kiasi gani mpaka zafika Dar??
Mjomba Berkshire ni Reading karibu na London. Huyo jamaa lazima akupige ili apate faida. Mimi nitatoa huduma anayotaka toa bila kuweka cha juu. Nitaku-link na supplier ili uhakikishe bei ya product, alafu nitaku link na shipment company ili ujue kiasi gani unalipa kwa shipment.
 
Back
Top Bottom